Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sibishani na serikali - Stamina

Jumatatu , 22nd Mei , 2017

Rapa Stamina amefunguka na kusema yeye hawezi kubishana na serikali na wala hakuna mtu anaweza kufanya hivyo  kwa kuwa nguvu ya mtu mmoja mmoja haiwezi kushinda nguvu ya serikali.

Stamina alisema haya alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live, na kusema amesikia kauli ya Waziri Mwakyembe inayowataka wasanii kuacha kuimba kuhusu siasa na kusema itabidi waifuate tu ingawa anaona ni kama wananyimwa haki yao ya kufanya kazi ya sanaa.

"Kama ulivyosikia kauli ya Mh. Mwakyembe kwamba  wasanii  tusiongelee masuala ya siasa, unajua huwezi kushindana na serikali yaani hiyo ni nchi nzima iko hivyo kwamba nguvu yako wewe binafsi haiwezi kuizidi nguvu ya serikali kwa hiyo muda mwingine tunafuata matakwa ya kile wanachokisema lakini harakati bado ipo pale, muziki wa Hip hop unahusu maarifa, ujumbe, content za kitu unachoongea kwa hiyo mimi nadhani kuna kitu kimoja hakipo sawa maana kama tunanyima uhuru wa sanaaa kiasi fulani"- alisema Stamina 

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu