Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Sio lazima uwe shabiki wa Baraka'' - Baraka

Jumatano , 3rd Jul , 2019

Msanii wa muziki wa kizazi hapa nchini Baraka the Prince, amenyoosha maelezo juu ya suala la yeye kushuka kimuziki, na suala zima la mahusiano yake na Naj.

Baraka the Prince

Baraka the prince amesema hayo leo kupitia EATV&EARadio Digital, baada ya mashabiki zake kusema kwa sasa ameshuka kimuziki.

"Binadamu kaongea, kwani mdomo wa binadamu si upo kwa ajili ya kuongea, hao si mabubu wanaweza kuongea chochote na ndio fikra zao na upeo wao ulipoishia. Mtu kama anaona nimeshuka kimpango wake, mimi pia najua navyoishi kimpango wangu, kama unaona nimeshuka wasanii wapo wengi sio lazima uwe shabiki wa Baraka"

Aidha msanii huyo amezungumzia suala la mahusiano yake kwa sasa na ameweka wazi kuwa hataki kusikia mapenzi  baada ya kuulizwa kuhusu aliyekua mpenzi wake Naj.

"Siwezi kuongelea suala la mahusiano, watu waongee kuhusu kazi zangu, watu waongelee kazi za muziki, kama unataka kuuliza kuhusu Naj mtafute mwenyewe umuulize anaweza akawapa jibu, nina mambo mengi ya kuyaongelea sio mapenzi".

Wawili hao wamezua sintofahamu kubwa kwa kila mmoja baada ya kufutiana picha na kila mtu kumu-unfollow mwenzake katika mtandao wa kijamii wa instagram, hali inayonyesha kutokuwa sawa kwa sasa.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea