Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sisi ni wakubwa kiakili kwenye Dance100% - D. D. I

Jumanne , 20th Sep , 2016

Kundi la D.D.I Crew ambalo linashiriki fainali za Dance100% 2016 ambazo zinatarajiwa kufanyika katika viwanja vya Don Bosco Jijini Dar es Salaam limesema kuwa kundi hilo ni dogo kiumri ila ni wakubwa kiakili.

Dundi la DDI Crew wakiwa na Mtangazaji Zembwela baada ya kipindi cha SUPAMIX cha EA Radio

Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa kundi hilo Samson Shobigo akiwa katika kipindi cha SupaMix kinachorushwa na East Africa Radio na kusema kuwa kundi hilo limejipanga vizuri katika kunyakua kitita cha milioni 7 na tayari wana mikakati ya kutumia fedha hizo katika miradi ya maendeleo.

“Sisi tumejipanga vyema katika kushiriki fainali Jumamosi na sisi ni wazoefu katika mashindano ya kucheza, tumeshakwenda hadi nje ya nchi kwa ajili ya shughuli ya dansi, hivyo watu wakae mkao wa kushuhudia mambo mazuri sana kutoka kwetu” Amesema Shobigo.

Kwa upande wake binti pekee anayeshiriki Shindano la Dance100% maarufu kwa jina la Kibibi amewataka kinadada kutoogopa kutumia fursa zinapojitokeza kwani kupitia Dance100% inamfanya atambulike kwa kipaji alichonacho ndani ya jamii.

Shindano la Dance100% linaendeshwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom na Coca- Cola na kuoneshwa na EATV kila Jumapili saa moja jioni.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala