Picha ya msanii TID
"Waimbaji wengi wa sasa wanagezana kuandika maishiri, mashairi wanaondika wao sasa hivi hayasaidii kudumisha tamaduni zetu na jamii ili kuelimisha kuasa na kuburudisha".
"Watu wamekua wakichochea ngono na kudhalilisha wanawake sidhani kama tutaachia urithi mzuri vijana wetu".