Kutoka kushoto ni Ibraah, kati Tommy Flavour na kulia Zuchu
Tommy Flavour amejibu hilo baada ya baadhi ya mashabiki ku-compare yeye na Zuchu kutoka WCB na Ibraah wa Konde Gang ambapo wanadai kama amepoa kwenye upande wa kazi tofauti na hao wenziye.
Zaidi mtazame hapa chini kwenye video.