Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Vera hajatayarishwa wala kujitayarisha''. - AT

Jumamosi , 17th Nov , 2018

Msanii wa muziki wa kizai kipya AT amekosoa kitendo cha 'social lite' Vera Sidika kuimba muziki, huku akimtuhumu kuwa hawezi kuimba na badala yake anapiga kelele.

Akizungumza kwenye Friday Night Live ya East Africa Television, AT amesema mlimbwende huyo kutoka nchini Kenya, amefanya kazi hiyo kwa kuiga, lakini kwenye suala la kuimba hajui kabisa huku akimfananisha na nyuki na kuitaka Afrika Mashariki kutokaa kimya kwenye masuala kama hayo, kwani inaharibu muziki wake.

“Huyu dada amejikelelesha, video sio mbaya, audio production siyo mbaya, ila muimbaji kaimba vibaya, hakieleweki kinachoimbwa ni nini, hajatayarishwa wala hajajitayarisha kuwa msanii, inawezekana kaona tu Mobetto alitoa kazi yake na yeye akaona atengeneze, kuimba sio kujamba kila mtu anaweza, lazima heshima iwekwe mezani, hizo kelele ni mbaya, mimi siwezi kuita nyimbo”, amesema AT.

AT ameendelea kwa kusema kwamba ….. “Afrika Mashariki kama tutakuwa tunasapoti kwa wasanii wa aina hii, tutakuwa tunafeli maana hatuwezi kwenda mbele, lazima tuvisemee,  tutakuwa tunajikekelesha, kama nyuki anatengeneza asali, haina ushirikiano kabisa kati ya sauti na beat”.

Hivi karibuni Vera Sidika ameachia wimbo wake wa kwanza ambao unaaminiwa amemuimba aliyekuwa mpenzi wake Otile Brown unaojulikana kwa jina la 'Nalia',  huku mwenyewe akisema kwamba wimbo huo unatokana na maisha yake halisi.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria