Ghorofa la msanii Alikiba Tabata
Mahojiano yamefanyika nyumbani kwa Alikiba Tabata Dar es Salaam, ambapo anamiliki ghorofa kubwa na kumfanya awe mmoja wa wasanii ambao wanamiliki mijengo mikubwa hapa nchini.
Kingine ni magari matatu ya kifahari anayoyamiliki msanii huyo pamoja na mbwa wadogo wadogo wawili maarufu kama vi-mbwa vya kudangia.
Zaidi tazama mjengo wake hapa chini kwenye video.