Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wasanii Afrika Mashariki waomboleza msiba wa Mengi

Alhamisi , 2nd Mei , 2019

Kundi la wasanii wa muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol, limeungana na Afrika nzima kuombeleza msiba wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dr. Reginald Mengi.

Kushoto ni kundi la Sauti Sol na Mwana FA kulia.

Sauti Sol wameeleza namna ambavyo Afrika imepoteza mtu muhimu aliyesimama kama mtu mwenye maono, mjasiriamali, mwandishi wa vitabu pamoja na baba wa watu wengi kwa namna alivyojitoa kusaidia watu.

''Twajivunia kuwa ulikuwa baba mlezi wa wengi. Pumzika baba. Ndugu zetu wa Tanzania tuko pamoja'' wameandika Sauti Sol.

Pia wameungana na wasanii wenzao wa Tanzania ambao nao wameguswa na msiba huo na kwa pamoja wametoa salamu za rambirambi kwa kueleza msaada wa Dr. Mengi katika kiwanda cha muziki na burudani kwa ujumla.

Wasanii Alikiba, Shetta, Lady Jay Dee, Nandy, Ruby, Fid Q, Billnass, Barnaba pamoja na wengine wengi wameguswa na msiba huku wakitumia mitandao ya kijamii kutuma salamu za rambirambi.

Kwa upande wake msanii Mwana FA ambaye pia ni mjumbe wa Bodi ya Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), ameeleza haya, ''Ukapumzike kwa amani mzee wetu. Umetekeleza kilichokuleta Duniani,na tumeona. Umeacha alama''.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea