Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yaliyomkuta Harmonize ndiyo yamemkuta na Ibraah Tz

Ijumaa , 16th Oct , 2020

Mara kadhaa msanii na CEO wa lebo ya Konde Gang, Harmonize amekuwa akipata usumbufu wa kutolewa na kurudishwa kwa video za nyimbo zake kwenye mtandao wa YouTube baada ya kupandisha video hizo kwenye mtandao huo.

Msanii Ibraah Tz upande wa kulia na kushoto ni Harmonize

Sasa tatizo hilo limemtokea pia msanii wake Ibraah Tz ambaye akaunti yake YouTube haipatikani na imefungiwa kwa sasa kwenye mtandao huo.

Ukiingia kwenye 'profile' ya Instagram anayotumia msanii huyo ameweka 'link' ya video ya wimbo wake wa nitachelewa ila ukibonyeza link hiyo kuna maneno ya kiingereza yanayomaanisha kuwa "Video hii haipatikani tena kwa sababu akaunti ya YouTube inayohusishwa na video hii imesimamishwa".

Maneno hayo yanadhihirisha kuna tatizo kwenye akaunti yake hadi kufungiwa na mtandao wa YouTube, mara nyingi tatizo hilo husababishwa na ukiukaji wa miongozo ya jumuiya au masharti kama kuchapisha video zisizo na maadili, chuki, unyanyasaji au kesi za haki miliki.

Tayari msanii Harmonize ameshakutana na tatizo la kufutiwa video za nyimbo zake kama uno, bedroom na album yake ya Afro East kisha kurudishwa baadaye.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani