Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CHADEMA yawataka watanzania kubana matumizi

Ijumaa , 28th Oct , 2016

Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Vincent Mashinji amewataka wananchi kutumia fedha kwa umakini kwa kubana bajeti ya matumizi yao ili kuhakikisha wanaweza kumudu hali ya maisha kwa sasa.

Dkt. Vincent Mashinji

 

Akijibu maswali ya wananchi waliotaka maoni yake kuhusu hali ya maisha kwa sasa kupitia KIKAANGONI kinachorushwa na EATV, Dkt. Mashinji amewataka watanzania kuhakikisha wanatumia fedha  vizuri kwa sababu hali ya uchumi siyo nzuri kwa wananchi wa kawaida.

“Watanzania wenzangu tutumie fedha vizuri, hali ni ngumu na ni ngumu kwa sababu ajira nazo hazipo hadi makampuni binafsi yanakusudia kupunguza watu, hivyo tujipange vizuri chini ya uongozi wa awamu hii ya tano, na hali itazidi kuwa ngumu zaidi” Amesema Dkt. Mashinji.

Amesema jambo pekee linaloweza kurudisha nchi katika hali ya kawaida na wananchi wakawa na maisha mazuri, ni kwa Rais Magufuli, kurudi nyuma na kufanya mashauriano na wadau mbalimbali vikiwemo vyama vya upinzani juu ya nini cha kufanya huku akimtaka pia kukubali ushauri badala ya kwenda na mwelekeo anaokwenda nao sasa.

Aidha Mashinji ameongeza kuwa kutokana na kuongezeka kwa ukosefu wa ajira nchini CHADEMA imejipanga kupitia Baraza la Vijana kuanza mkakati maalumu wa kuwafundisha vijana ujasiriamali ili waondokane na dhana ya kuajiriwa wajiajiri wenyewe.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala