Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makonda asimulia alichofanyiwa na Dkt. Mengi

Ijumaa , 12th Apr , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kwamba Mwenyekiti wa IPP, Dkt. Reginald Mengi aliwahi kumchangia ada wakati akiwa chuoni, na ndiye tajiri pekee ambaye amewahi kufika chumbani kwake kwenye Chuo alichokua akisoma.

Ameyasema hayo leo kwenye sherehe ya kuwatunza askari waliofanya vizuri kwa Mwaka 2018, akisisitiza kuwa katika kipindi hicho hakuwahi kuwa na ndoto ya kuja kuwa kiongozi.

Paul Makonda pia ameyaomba makampuni ya IPP kuunga mkono Serengeti boys, ili kuweza kutoa hamasa zaidi wa mashabiki ili timu iweze kufuzu mashindano yajayo.

Makonda anasimulia zaidi

 

“Tena wakati huo hata ndoto ya kuja kuwa Mkuu wa Wilaya, Kiongozi Vyuo Vikuu haikuwepo, kwasababu wewe ni mlezi wa hii timu tuunganishe nguvu tuingie Brazil”, amesema Paul Makonda.

Hii leo Jeshi la Polisi limetoa tuzo maalum kwa askari ambao wamefanya vizuri kwa mwaka 2018, tukio ambalo lilihudhuriwa na watu mbali mbali ikiwemo wasanii.

Mzee Meni akiwa na Paul Makonda

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ