Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ajifungua watoto 10 kwa siku moja

Jumatano , 9th Jun , 2021

Mama Gosiame Thamara Sithole mwenye miaka 37 kutoka nchini South Africa ameweka rekodi ya kipekee kwa kujifungua watoto kumi kwa siku moja katika Hospitali iliyopo Jijini Pretoria.

Picha ya Mama aliyejifungua watoto 10 kwa siku moja

Mama huyo amejifungua watoto saba wa kiume na watoto watatu wa kike ambapo alikuwa ana ujauzito wa miezi saba na siku saba, pia kipindi cha nyuma aliwahi kupata mapacha ambao kwa sasa wana miaka 6, hivyo kwa sasa ana jumla ya watoto 12.

Akizungumza baada ya kujifungua watoto hao Mama huyo amesema "Nimeshtushwa na ujauzito wangu ilikuwa ngumu mwanzoni nilikuwa mgonjwa na ilikuwa ngumu kwangu"

"Sioni maumivu tena, ninaomba Mungu anisaidie kujifungua watoto wangu wote katika hali nzuri pia mimi na watoto wangu tutoke hai, napenda kuwa radhi juu yake"

Kwa upande wa mume wake aliyefahamika kwa jina la Mr Tsotetsi amesema ana furaha sana, yupo na hisia hivyo hawezi kuzungumza sana kuhusu suala hilo.

Chanzo : Standard.co.uk , Instablo9ja, Timesnownews, Africa News.
 

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini