Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Akamatwa kwa kubaka wanawake 40 ndani ya mji mmoja

Alhamisi , 11th Jun , 2020

Moja kati ya habari ambayo imetawala kwenye vyanzo mbalimbali vya habari nchini Nigeria, inaeleza kukamatwa kwa mwanaume mmoja ambaye anadaiwa kubaka wanawake 40 ndani ya mji mmoja kwa muda wa mwaka 1.

Mikono ikiashiria mtu amekamatwa na kushikiliwa na jeshi la polisi

Mtuhumiwa huyo amefikishwa kituo cha polisi cha mji wa Kano, ambapo mwanamke mmoja mkazi wa Dangora alimkuta amejificha katika chumba cha kulala watoto, kisha akataka kukimbia lakini alimuitia majirani ambao walimsaidia kumkamata na kumfikisha polisi.

Kiongozi wa Afisa Uhusiano wa Umma DSP Abdullahi Haruna amedhibitisha kupatikana kwa mtuhumiwa huyo kwa kusema  "Siku ya Jumanne polisi wamemkamata Muhammad Alfa mwenye miaka 32, wakati wa mahojiano mwanaume huyo alikiri kubaka wanawake zaidi ya 40 kwa mwaka kuanzia wasichana, wanawake walioolewa wazee pamoja na kushambulia watoto walio na umri chini ya miaka 10". 

Aidha Chifu wa mji huo Ahmadu Yau amesema kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo ni ishara ya maendeleo katika mji wao na watu wamefurahia na wanatumaini haki itatendeka dhidi yao.

Vyanzo : Pulse.ng , All Africa.com , Saharareporters.com , Guardian.ng , Daily Times.ng ,

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala