Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alichosema Steve Nyerere kuhusu sanamu ya Nyerere

Ijumaa , 12th Jul , 2019

Muigizaji wa Filamu hapa nchini Steven Mengele maarufu kama Steve Nyerere, ameona fahari kufananishwa na Sanamu ya Nyerere, aliyokabidhiwa Rais Magufuli wakati wa uzinduzi wa Hifadhi ya Taifa ya Burigi Julai 9, 2019, Chato Mkoani Geita.

Steve Nyerere

Akizungumza na EATV&EARadio Digital, Steve Nyerere amesema, anaona fahari na kufarijika sana kuona watanzania wanautambua mchango wake katika jamii na kudai hizo ni changamoto ambazo ni za kuzoea.

''Kwangu ni fahari, kumbe watanzania wanajua ninachokifanya kiasi cha kuweza kunifananisha na sanamu aliyokabidhiwa Rais Magufuli''.

Aidha Steve ameongeza kuwa, yeye atasimama kama kioo cha jamii na  mtu mkubwa, na kwamba ataendelea kumuenzi, Hayati Baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere.

''Nimefarijika sana na nimeona, hata zile meseji ninazofikisha kupitia mwalimu, kuelimisha jamii, kuhakikisha watu wanamuenzi mwalimu, kwa sababu ndio Baba wa Taifa, lazima akumbukwe, kuna vizazi vinakua havimtambui mwalimu, Dunia inabadilika kila siku na kuwasahau wale walengwa waliokuwa mstari wa mbele kutuletea uhuru na kujenga Taifa.

Steve Nyerere ameendelea kusisitiza kwamba, ataendelea kumuenzi Baba wa Taifa kwa Vitendo.
 

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera