Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Atiwa mbaroni kwa kukata uume wa mwenzake

Alhamisi , 18th Jul , 2019

Mkazi mmoja wa jiji la Florida nchini Marekani aitwae Alex Bonella, mwenye miaka 49, anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kumkata Uume mwanaume mwenzake.

Kwenye picha ndogo ndiye mtuhumiwa

Mtuhumiwa huyo alifanya tukio hilo siku ya Jumapili, na alikata Uume wa mwanaume mwenzake kwa kutumia mkasi kwa sababu alikuwa anaamini mwanaume huyo alilala na mkewe.

Ofisa wa polisi katika kituo cha Gilchrist County Sheriff, wamesema taarifa hizo walizipata kutoka kwa jirani wa mtuhumiwa huyo, ambaye aliripoti polisi kuhusu mtuhumiwa huyo kumuomba mkasi na kumshikia silaha.

Aidha muathirika wa tukio ambaye yupo hospitali kwa sasa amesema Alex Bonilla alienda nyumbani kwake na kumtishia kumuua huku amemshikia bunduki kama akikataa kufanya atakavyo, na kumlazimisha kulala chini na kumtolea mkasi na kisha kumkata Uume wake.

Hata hivyo mtuhumiwa mwenyewe wa tukio hilo Alex Bonilla amesema mwanaume huyo alifanya mapenzi na mke wake nyumbani kwake mwezi wa tano mwaka huu, na mpaka sasa mtuhumiwa huyo anashikiliwa na jeshi la polisi kwa makosa mawili, moja ni kufanya uhalifu wa kikatili, pili ni kushambulia kwa kutumia silaha.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria