
Picha ya mzazi huyo akiwa na mtoto wake
Unaambiwa baba huyo amekataa kurudia darasa la 7 na kuchagua darasa la 3 kwa lengo la kujifunza lugha za msingi kama kiswahili na kiingereza kwa sababu hazijui lugha hizo.
Pia ameongeza kusema amerudia kusoma ili kuwa na maisha mazuri kwake na familia yake.
Chanzo : Tuko News
Zaidi tazama video ya Dokii akizungumzia kauli ya Lulu Diva kuchanganya penzi la Rich Mavoko na Boss wake.