Bilionea wa China, Jack Ma
Bilionea huyo tayari amechangia upatikanaji wa vifaa Milioni 1 vya kupimia Corona, Barakoa milioni 6, mavazi elfu 60 ya kujikinga na ugonjwa huo pamoja na viziba uso.
Akitoa maelezo hayo ya kuchangia vifaa hivyo Jack Ma amesema "Kwa sasa wote tunaishi katika msitu mmoja ambao unawaka moto, haipaswi kwetu sisi kudharau, kuchukulia kawaida au ku-panic au kushindwa kuchukuliwa hatua ili kuwaachia Waafrika wapambane peke yao dhidi ya virushi hivi vya Corona".