Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Facebook na ujio mpya wa huduma ya mahusiano

Ijumaa , 6th Sep , 2019

Facebook wameanzisha huduma mpya, maalum kwaajili ya kuanzisha mahusiano ya ukaribu zaidi baina ya watumiaji wa mtandao huo kama mapenzi na mengineyo.

Huduma hiyo tayari imeanza kupatikana katika nchi kadhaa kama Marekani, Colombia, Thailand na inatazamiwa kuanza kusambaa katika nchi nyingine hivi karibuni.

Huduma hiyo kwa sasa inapatikana katika App kuu ya Facebook hivyo mtumiaji kama unataka kujiunga, itakupasa kuunda wasifu (profile) yako nyingine na utaanza kuona marafiki kadhaa ambao wataanza kuonekana kutokana na mfanano wa taarifa mlizoweka.

Kupitia Instagram pia kipengele hicho kitaongezwa na kupewa jina la "Secret Crush", ambayo itakupa uwezo wa kuwaorodhesha marafiki zako wote kadhaa kwa siri ambao unawapenda na wao wakikubali ombi au kukuorodhesha basi mnaweza kuanzisha uhusiano wenu mnaokusudia.

Mtandao wa Facebook kwa siku za hivi karibuni umekuwa ukituhumiwa kuvujisha taarifa za watumiaji wake hivyo uanzishwaji wa huduma hiyo wachambuzi mbalimbali wa masuala ya mitandao wanaona huduma hiyo usalama kwa watumiaji unaweza ukawa sio rafiki sana.

Facebook kwa upande wao wamesema hawana mpango wowote wa kutumia huduma hiyo kwaajili ya mambo ya kibiashara au kutumia taarifa za watumiaji wake vibaya kama wengi wanavyohisi.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani