Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fahamu dalili za mtu kujifungua mtoto wa kiume

Alhamisi , 27th Aug , 2020

Kumekuwa na shauku ya wazazi kujua ni jinsia gani ya mtoto ambaye anatarajiwa kuzaliwa, sasa kupitia kipindi cha MamaMia ya East Africa Radio mtangazaji Mwanne Othman ametoa dondoo kuhusiana na ishara za kujifungua mtoto wa kiume endapo mwanamke anapokuwa mjamzito.

Mtangazji wa East Africa Radio na East Africa Tv Mwanne Othman

Sasa kupitia kipindi cha MamaMia ya East Africa Radio mtangazaji Mwanne Othman ametoa ishara za kiasili za kutambua kama mtoto aliyetumboni anaweza akawa wa kiume wakati wa kuzaliwa.

"Ishara za kujifungua mtoto wa kiume kwa mwanamke mjamzito kwanza magonjwa ya asubuhi mfano kusikia kichefuchefu asubuhi, mapigo ya moyo kuongezeka, kutokwa na chunusi, hamu ya chakula vichachu na vyenye chumvi na mkao wa tumbo kama upo chini" ameeleza Mwanne Othman

Aidha ameendelea kusema "Kingine ni mabadiliko ya tabia, mama wenye hasira watapata watoto wa kiume, rangi ya haja ndogo kubadilika, matiti kuwa makubwa la kulia ni kubwa kuliko la kushoto, miguu kuwa ya baridi, kukua kwa nywele, namna ya kulala na kuongezeka uzito".

Kipindi cha MamaMia ni kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 4:00 Asubuhi - 6:00 Mchana kupitia East Africa Radio au www.eastafricaradio.com

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera