Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Hakuna mambo ya tuma na ya kutolea"- Prisca

Alhamisi , 4th Mar , 2021

Mwanamke Kinara Prisca Schulter, amesema kuwa utaratibu uliopo nchini Ujerumani kwa wanandoa ni kwamba mume na mke huwa wanashirikiana katika kuhudumia familia kwa kuhakikisha kila mmoja wao anatoa kiasi cha pesa katika kila mshahara wake kwa ajili ya matumizi ya familia.

Mtanzania anayeishi Ujerumani Prisca Schulter

Prisca ameyasema hayo leo Machi 4, 2021, kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, wakati alipohojiwa kuhusu umuhimu kwa mwanamke kufanya kazi yoyote ya halali ili kuweza kuongeza kipato cha familia na kumsaidia mume wake majukumu ya ndani ya nyumba.

"Huku Ujerumani mke na mume mnakadiriana kulingana na mshahara wa kila mmoja wenu yaani kila mmoja ana wajibu wa kuacha pesa kila mwezi, ukipata mshahara kila mtu anatumbukiza kwa ajili ya matumizi ya kila siku ya familia mfano hii ya ada, kodi na mahitaji mengine," amesema Prisca.

Ameongeza kwa kusema kuwa "Yaani mwanamke anatoa pesa na mwanaume anatoa pesa, huku hakuna yale mambo ya tuma na ya kutolea, huku mnaongea mfano mimi nimeolewa na Mjerumani yeye anatoa pesa yake na mimi natoa pesa yangu kila mwezi na inajulikana".

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala