Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Hata nikifikisha wake wanne haina maana" Jj Mwaka

Jumatatu , 15th Jun , 2020

Daktari wa tiba asilia, matatizo ya afya na uzazi kwa wanawake Dkt Mwaka, ameeleza kuwa sababu ya kuoa wake watatu ni tamaa tu, na kwamba hata mke wa pili na watatu amewaoa bila kuangalia vigezo vyovyote.

Dr Jj Mwaka akiwa na mmoja wa wake zake aitwaye Chimii

Dkt Mwaka amesema hilo kwenye kipindi cha MamaMia ya East Africa Radio, ambayo inaruka kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 4:00 Asubuhi - 6:00 Mchana, wakati anaeleza sababu ya kuoa wake watatu na mpango wa kuongeza mke wa nne.

"Sijawahi kuangalia vigezo vyovyote mara nyingi wanaume huwa tunaoa kwa sababu ya tamaa, unaweza ukamuona binti ukavutiwa naye kama hupendi udhinifu ndiyo unaoa, ila kiukweli kinachokusukuma hapo mwanzo ni matamanio tu, mke wangu wa pili na watatu sikutazama vigezo lakini nashukuru Mungu naishi nao vizuri mpaka leo" ameeleza.

Aidha Dkt Mwaka ameongeza kusema "Wanaume wote wanatamaa ila kinachotokea ni kujizuia tu kwa sababu mbalimbali, hata nikifikisha wake wanne haina maana kama tamaa itaisha lakini kisheria nitakuwa nimefikisha kiwango cha kutosheka nacho".

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani