Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kichanga chapotea kimaajabu

Ijumaa , 26th Apr , 2019

Hospitali moja katika Kaunti ya Machakos nchini Kenya imeingia matatizoni baada ya kupotea kwa kichanga ambacho kimezaliwa hapo, na mama aliyekwenda kujifungua.

Ndugu wa mwanamke ambaye amepotelewa na mtoto wamesema kwamba waliambiwa na wauguzi kuwa mtoto alifariki, lakini mpaka sasa hawajakabidhiwa mwili wake kama inavyotakiwa.

Ndugu wasimulia kuhusu kichanga chao

“Dada yangu alijifungua kwa upasuaji, akawataka waoneshwe mwili wa mtoto wake, lakini mpaka sasa uongozi wa hospitali umeshindwa kufanya hivyo, badala yake wanatuzungusha tu”, amesema mmoja wa ndugu hao.

Hata hivyo Mkurugenzi wa Afya wa Kaunti ya Machako Dr. Joel Mwova amesema kwamba tukio hilo ni kwlei limemfikia mezani kwake na lipo kwenye uchunguzi.

“Nilipewa namba ya mmoja wa ndugu, nikampigia na kuambiwa kuwa yuko kwenye kikao na wakuu wa idara nyingine, nataka nipate ripoti kutoka kwa kiongozi wa wauguzi, ndipo nitoe ripoti yangu”, amesema Dr. Mwova.

Mkurugenzi huyo ameongeza kwamba iwapo ikithibitika upotevu wa mtoto huyo hilo ni kosa la jinai, ambalo sheria itatakiwa ifuatwe kwa wahusika.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea