Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilichotokea kwenye mazishi ya aliyeuawa na Polisi

Jumatano , 10th Jun , 2020

Jumanne ya Juni 9, 2020, ilikuwa ni siku maalum kwa wakazi wa Marekani hasa wale weusi baada ya kumuaga na kuzikwa kwa raia George Floyd ambaye ameuawa mikononi mwa Polisi Derek Chauvin mwishoni mwa mwezi Mei.

Watu wakibeba jeneza kuelekea kumzika George Floyd

Shughuli hiyo ya mazishi yake imefanyika Jijini Houston, Texas nchini Marekani, na kuongozwa na Kanisa la Fountain of Praise, ambapo watu takribani 500 wamehudhuria wakiwemo watu maarufu na wanasiasa wa nchi hiyo.

Gavana wa Minnesota Tim Walz, alitoa dakika 8 na sekunde 46 za ukimya ikiwa ni ishara ya heshima za mwisho za kumuaga George Floyd, aidha Mjomba wa George ametaka haki itendeke huku akisema tukio hilo ni la chuki kwa mpwa wake na wala sio uhalifu.

Polisi aliyefanya tukio hilo Derek Chauvin na wenzake wanne, wamefukuzwa kazi na wote wameshtakiwa kwa kesi ya mauaji japo siku ya jana zilitoka taarifa kwamba amewekewa dhamana ya Tsh Bilioni 2.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea