Tukio hilo linatabiriwa litatokea tena Novemba 8 mwaka huu.
Tovuti ya timeanddate.com imeandika tukio hilo litaonekana vizuri katika baadhi ya sehemu Duniani ambapo bara la Ulaya litaoneka kwa nchi za magharibi, bara la Marekani kaskazini, na Afrika.
katika mji wa Dar es salaam tukio hilo litatokea saa 10:32 alfajiri na saa 11:27 alfajiri.