Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mary Nagu ajivunia Namthamini

Alhamisi , 1st Aug , 2019

Mbunge wa Hanang Mh Mary Nagu, ameipongeza East Africa Television na East Africa Radio kupitia kampeni ya Namthamini na kudai kuwa tangu ameshiriki kwenye mwaka wa kwanza amekuwa akiona mafanikio ya kampeni hiyo.

Timu ya Namthamini ikiwa na Mbunge wa Hanang Mary Nagu (katikati) ofisini kwake Hanang.

Akiongea ofisi kwake mbele ya timu ya Namthamini ambayo ilikuwa wilayani humo kwaajili ya kugawa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule za Sumaye na Simbay, Nagu amesema anajivunia kampeni ya Namthamini kwani inatengeneza viongozi wanawake wa baadaye.

''Nakumbuka nilishiriki kwenye awamu ya kwanza, na tangu hapo nimekuwa nikifuatilia mnavyoendelea kuwathamini wasichana wetu shuleni kiukweli ni jambo la kupongezwa na msiache endeeleni hivyo hivyo na sisi tutawaunga mkkono kadri tunavyoweza'', amesema.

Kampeni ya Namthamini kwa mwaka 2019, imefanikisha wanafunzi wa kike zaidi ya 300, kupata taulo za kike kwa mwaka mzima ndani ya  Wilaya ya Hanang.

Wanafunzi hao wanatoka katika shule ya sekondari Simbay ambayo ni ya kutwa pamoja na shule ya sekondari Sumaye ambayo ni ya kutwa na bweni. Wasichana takribani 70 wanaotoka mbali wanakaa bweni.
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria