Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashimo aibuka na kifo cha Mugabe

Ijumaa , 6th Sep , 2019

Mchungaji wa Taifa 'Nabii Mashimo' ametolea ufafanuzi kifo cha aliyekuwa Rais wa kwanza wa nchi ya Zimbabwe na utabiri kuhusu vurugu za Afrika Kusini.

Mchungaji 'Nabii Mashimo'

Nabii Mashimo akizungumza na EATV & EA Radio Digital kuhusu kifo amesema kuwa,

"Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe, ikumbukwe kwamba kifo chake nilikitolea unabii tangu tarehe 20/8/2017 nikiwa katika ubalozi wa Kenya, nilimwambia atengenezee nyumba yake na hatoweza kupata Urais kwenye uchaguzi wa mwezi wa 12 nchini Zimbabwe".

Nabii huyo ameendelea kueleza baada ya kutoa utabiri huo alikwenda ubalozi wa Zimbabwe uliopo Tanzania, ili kuomba kibali cha kwenda Ikulu ya nchi hiyo kumueleza marehemu Robert Mugabe, kuhusu maono ya unabii huo ambao umedhibitika leo hii.

Aidha Nabii Mashimo ametoa utabiri kuhusu vurugu zinazoendelea nchini Afrika Kusini ambapo amesema, Jicho la kinabii limeona maono ya Rais wa nchi hiyo na kila analolifanya kuhusu waafrika wanaoishi nchini kwake.

Pia amesema Mungu amemtuma amwambie Rais wa Afrika Kusini kuwa afanye toba, amalize ghasia hizo ndani ya siku 3 la sivyo damu zilizoangamia zitakuwa juu yake na atatolewa madarakani mapema sana.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala