Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mastaa waililia Afrika Kusini

Jumanne , 3rd Sep , 2019

Nchini Afrika Kusini kuna machafuko na vurugu ambazo zinaendelea kutoka kwa wenyeji ambao wanachochea suala la ubaguzi wa rangi kwa kuwapiga, kuwaibia na kuwachoma moto wageni na raia ambao sio wa nchi hiyo.

Wasanii na watu maarufu

Afrika Kusini ina idadi ya wageni na wahamiaji wapatao milioni 2.3, kutokea mataifa mbalimbali ikiwemo China, India, Marekani na watu wa mashariki ya kati kutokea bara la Ulaya.

Hii ni orodha ya mastaa ambao wameandika kupitia mitandao ya kijamii kwa kuonyesha kuguswa, kutokana na hali inayoendelea nchini humo.

Nikki wa Pili "Kinachotokea SA ni moja ya sifa ya kizazi cha sasa ni mihemko na kutokuwepo na fursa kubwa ya kujielemisha. Moja ya sifa kubwa ya babu zetu wakati wa utumwa au ukoloni kina Malcom X, Samora, Mwalim ilikua ni kujielimisha na kupambana kujifunza".

Skales  "Mnasema wageni wamekuja kuchukua kazi zenu, Wanawake wenu, Wanaleta uhalifu kwenu. Ila nyinyi Waafrika kusini ndiyo mnawaua, mnawakaba, na kuwabaka kila siku".

Zari The Bosslady  "Nanyoosha mikono yangu juu, wenyeji wanafanya mambo ya kibaguzi kwa kuwashambulia wenyeji kwa kuwapiga kuwaibia. Kemea Ubuguzi wa rangi".

Rosa Ree  "Mandela amka uone wanao wanavyofanya kwenye nchi uliyoteseka na kuipigania, ni muda halali wa Yesu kurudi kutusaidia, Eh Mwenyezi Mungu tusamehe kwani hatujui tuyafanyayo".

Yemi Alade "Inatosha sasa hali hii itaanedelea hadi lini, Africa ndiyo nyumbani kwetu, tunatakiwa kuitwa umoja wa mataifa ya Africa hatuitaji kuona umwagaji wa damu tena".

 

 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea