Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Meridian Bet yaendelea kutoa msaada kwa jamii

Jumatano , 20th Jan , 2021

Kampuni inayojihusisha na michezo ya kubahatisha ya Meridian Bet, imetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa walemavu wanaosali katika kanisa la Waadiventista wasabato, Manzese Jijini Dar es Salaam.

Meneja Ustawi wa Kampuni ya Meridian Bet, Amani Maeda, akikabidhi msaada kwa mmoja wa walemavu jijini Dar es Salaam

Akizungumza wakati akitoa msaada huo Meneja Ustawi wa Kampuni hiyo Amani Maeda, amesema kuwa kampuni hiyo imejiwekea utaratibu wa kusaidia watu wenye uhitaji maalum ambapo leo wameamua kutoa msaada kwa taasisi hiyo.

"Huu ni mwendelezo wa kutoa msaada kwa watu wenye uhitaji maalum na hapa tumekuja na mchele, unga wa ugali, sukari, mafuta ya kupikia, pempas za wakubwa pamoja na miwani lakini mtatuambia changamoto mlizonazo ili kwenye mkono wa kugusa Jamii tuweze kuwafikia", amesema Amani Maeda.

Kwa upande wake mratibu wa walemavu hao Oloo Vincent, ameshukuru kwa msaada huo ambapo pia ametumia nafasi hiyo kuiomba serikali pamoja na jamii kwa ujumla kuwaunga mkono walemavu hao kwani pamoja na ulemavu walionao lakini wanajishughulisha na ushonaji wa viatu.

Nae Mwenyekiti wa walemavu hao Isdori Mrisho, ameishukuru kampuni hiyo kwa moyo wao wa utoaji na kuongeza  kuwa  watu wengi wana uwezo mzuri kiuchumi lakini hawana moyo wa utoaji.

Akizungumza kuhusiana na kuwakumbuka walemavu walioko vijijini, Katibu wa Walemavu hao Berdina Sailas, amesema kuwa asilimia kubwa ya walemavu wako vijijini na hawapati msaada kwa kuwa watu hawawafikii hivyo ameiomba kampuni ya Meridian Bet iangalie namna ya kuwafikia walemavu walioko vijijini.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera