Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mke awataka wanaume zake wanne kulea mtoto

Ijumaa , 6th Dec , 2019

Tory Ojeda mwenye umri miaka 20, ni mwanamke ambaye anaishi jijini Florida, nchini Marekani, ameweka wazi kuwa yupo katika mahusiano, yanayohusisha kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja 'Polyamorous'.

Tory akiwa na wanaume zake wote wanne.

Mwanamke huyo ambaye kwa sasa ana ujauzito wa miezi 7, anaonekana kufurahia kuwa na jumla ya wanaume wanne, ambao ni Marc 18, Travis 23, Ethan na Christopher wenye miaka 22.

Tory                                                              akicheza karata na waume zake.

Kupitia chanzo cha habari cha Daily Maily, inadaiwa mwanamke huyo anaishi na wanaume zake wote kwenye nyumba moja, wanafanya shughuli za kijamii pamoja na hata wakitaka kupanga mitoko yao hutoka pamoja.

"Christopher ndiyo Baba halisi wa huyu Mtoto, mara ya mwisho tulivyotoka kimapenzi mapumziko nilikuwa naye, ila yote kwa yote tutamlea pamoja na kila mtu atakuwa Baba" amesema Tory Ojeda.

Aidha Tory ameongeza kuwa "Wote tumefurahia sana na tuna shauku juu ya kumlea mtoto wetu pamoja, sasa hivi tutakuwa watano kwenye nyumba na tunatakiwa kupata mtoto zaidi ya mmoja, tutamlea kama familia moja" ameongeza.

                                                Tory akiwa na Baba halisi wa mwanaye.

Tory Ojeda na wanaume zake wote wanne, wanatarajia kupata Mtoto wa Kike miezi miwili ijayo.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria