Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtoto wa miaka mitano kutolewa kizazi

Jumatano , 1st Mei , 2019

Mtoto wa miaka mitano mkazi wa Dodoma ambaye alipatwa na tatizo la kutokwa na damu sehemu za siri (hedhi) anatarajiwa kutolewa kizazi ili kuokoa uhai wake.

Kwa mujibu wa mama mzazi wa mtoto huyo, Bi. Loveness Samwa amesema kwamba mtoto wake huyo ambaye kwa sasa yuko hospitali ya Taifa ya Muhimbili akipatiwa matibabu, anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa kuondoa kizazi chake, ili kuzuia madhara zaidi yaliyotakana na kuvuja kwa damu.

Bi. Lovenes amesema kwamba baada ya kufika Muhimbili wakitokea Dodoma, binti yake akiwa amezidiwa, alipokelewa na kuanza kuhudumiwa, na mara baada ya vipimo ndipo akapewa majibu ambayo yatalazimu mtoto wake kutolewa kizazi.

"Tulifika hapa Muhimbili saa 4 asubuhi, madaktari walivyotuona wakaanza kumtibia kwanza mwanangu kwa sababu alikuwa bado hajapata fahamu, walimchukua na kuanza kumfanyia vipimo ambapo wakati nasubiria majibu walimtundikia maji wakamuwekea na Oxygen ambapo alikuja kuzinduka saa 11 jioni. Daktari aliniita tena kwa ajili ya kunipa majibu ambapo aliniambia kwamba kipindi mtoto wangu anapata siku zake, kuna damu ilienda kuganda kwenye kizazi, hivyo kusababisha kiharibike, kwa hiyo anatakiwa afanyiwe upasuaji ili kuondoa kizazi kwa lengo la kuokoa maisha yake", amesema Bi. Loveness.

Hata hivyo mama huyo amesema kwamba ili mtoto wake aweze kufanyiwa upasuaji anatakiwa alipie pesa shilingi laki nne, pesa ambayo amedai kuwa hana, na hata alizoanzia matibabu alichangiwa na watu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali