Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

NBC watoa taulo za kike kwa wanafunzi 250

Jumanne , 13th Sep , 2022

Benki ya NBC siku ya leo imechangia pakiti 3,000 za taulo za kike katika kampeni ya Namthamini inayoendeshwa na East Africa TV na East Africa Radio, ambazo zitakwenda kuwasaidia wanafunzi wa kike wapatao 250 kwa mwaka mzima.

Kutoka kushoto mtangazaji wa East Africa TV, Najma Paul akifuatiwa na Irene Peter ambaye ni Meneja wa huduma za jamii wa NBC akikabidhi taulo za kike kwa Meneja Mahuasiano wa IPP, Nancy Mwanyika na mwisho ni Justine Kessy mtangazaji wa East Africa Radio.

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo Meneja Huduma za Jamii wa NBC, Irene Peter amesema wamewasaidia wanafunzi 250 kwa kuwa wanathamini afya za watoto wa kike ili waweze kutimiza ndoto zao.

Benki ya NBC ni moja kati ya washirika wanaoisaidia kampeni ya Namthamini kwa mwaka 2022 ili kuwawezesha wanafunzi wa kike kutokosa masomo yao pindi wanapokuwa katika kipindi cha  hedhi.

Kwa upande wake Brenda Killeo ambaye ni Meneja Mawasiliano wa benki ya NBC amesema kampeni ya Namthamini ni miongoni mwa kampeni zenye thamani hapa nchini kwa kuwa inainua elimu na kuwafanya wanafunzi wa kike walio mashuleni kuwa majasiri na kutimiza ndoto zao ndiyo maana wameiunga mkono.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu