Picha ya Pamoja Waziri Mkuu wa Fiji Frank Bainimarama (kushoto) na Rais wa China H.E Xi Jinping
Vazi Sulu Vakataga ni kwa ajili ya wanaume na liliingia katika Taifa hilo na wamishonari waliokuwa wakitoka Tonga huku wakati mwingine sketi hizo hukatwa katwa upande wa chini.
Ikumbukwe pia Waziri mkuu wa Fiji, Frank Bainimarama wakati alipohudhuria Mkutano wa Shirika la Umoja wa mataifa la makazi mjini Nairobi 2019 alitinga vazi hilo na kuwashangaza watu wengi.