Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukeketaji unavyoharibu raha ya ndoa kwa wanawake

Alhamisi , 7th Feb , 2019

Tarehe 6 Februari ya kila mwaka ni siku ya kupinga vita dhidi ya ukeketaji duniani, ambapo iliridhiwa na Baraza la Umoja wa Mataifa kwa mara ya kwanza mwaka 2003.

moja ya hatua za ukeketaji

Kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa, zaidi ya wanawake milioni 200 wamekeketwa mpaka sasa, wengi kati yao ambao ni karibia nusu wakipatikana katika nchi za Misri, Ethipia na Indonesia.

Katika kuiadhimisha siku hiyo ambayo imeadhimishwa kitaifa Mkoani Mara, mama mmoja aitwaye Prisca Magesa katika kipindi cha Mjadala cha EATV saa 1, ameelezea hali yake halisi ya kimahusiano anayopitia katika maisha yake licha ya kuwa ameshazaa watoto watano hivi sasa.

Mama huyo amesema aliolewa akiwa na miaka 14 na mwanaume mwenye umri wa miaka 70, ambapo kabla ya kuolewa alikuwa akimsaidia mama yake kufanya kazi ya ukeketaji, hali iliyopelekea na yeye kufanyiwa kitendo hicho.

Pia amezungumzia namna ambavyo anaumia pale wanawake wenzake wanapokuwa wakizungumzia juu ya raha wanayoiptaka katika tendo la ndoa ilhali yeye hahisi raha yoyote anapokutana na mwanaume katika kipindi chote alichoishi na hali hiyo.

"Kwa upande wangu mimi kwanza huwezi kujisikia raha kwenye tendo la ndoa, yaani upoupo tuu, pia unapokuwa na wanawake wenzako wa makabila tofauti na wewe, wanapoongea madhara yake unajisikia kama umetengwa na mpweke", amesema Prisca.

Mtazame hapa akielezea zaidi.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria