Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Upepo wa kisulisuli ni miujiza" - Rwakatare

Ijumaa , 18th Oct , 2019

Askofu wa kanisa wa Mlima wa moto Bi Getrude Rwakatare, ametoa maelezo kuhusu video fupi ya maombi yake ya upepo wa kisulisuli ambayo inazunguka zaidi katika mitandao ya kijamii  na mitaani.

Askofu Bi Getrude Rwakatare akiwa nyumbani kwake Kawe.

Kupitia mahojiano aliyofanya na EATV & EA Radio Digital, Bi Getrude Rwakatare amesema hakuamini kama maombi yake ya upepo wa kisulisuli yataenea zaidi kwa watu na kwenye mitandao ya kijamii.

"Kwa kweli namshukuru Mungu kupitia ile video fupi inavyosambaa, kufika mbali na kupokelewa vizuri na katika jamii na kugusa mioyo za watu, Upepo wa kisulisuli ni upepo wa kimbunga ambao unakuja ghafla na inabeba chochote ambacho kipo njiani na huvutwa kutoka Magharibi na Mashariki hadi Kaskazini na Kusini, kwahiyo upepo huu ni nguvu na miujiza ya Mungu" amesema Bi Getrude Rwakatare.

Pia amesema nia ya kufanya hivyo ni kuwasaidia Wanawake ambao hawajaingia kwenye ndoa, wapate Wanaume wa kuwaoa maana dunia hii Wanawake wamekuwa wengi ila hawapati bahati ya kuolewa na kubaki kuhangaika kwa waganga na kutumia dawa. ameongeza.

Aidha amesema maombi haya ya upepo wa kisulisuli yataendelea Jumapili hii kama kuna mtu atakuwa na tatizo lake anaweza akaenda kwenye Ibada kanisani Mlima wa moto na itaenda hadi mikoani sio kwa wakazi wa Dar Es Salaam tu.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria