Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafukua maiti kuiombea ifufuke

Jumatano , 9th Jan , 2019

Familia moja huko Naivasha nchini Kenya, imeshangaza umma baada ya kuufukua mwili wa mtoto wao aliyefariki wiki iliyopita, kwa lengo la kumuombea afufuke.

Mama wa mtoto huyo ambaye alifariki kwa ajali akiwa na mwaka mmoja tu, aliita wachungaji na kisha kwenda kufukua maiti hiyo ambayo ilikwisha zikwa, na kuanza kufanya maombi ya kumfufua, jambo ambalo liliwashangaza wakazi wa eneo hilo waliodhani ni imani au ushirikina, na kuamua kuita polisi.

Jeshi la Polisi katika eneo la Naivasha lilifika eneo husika na kuwatia nguvuni wahusika wa tukio hilo, wakisema kwamba wamewakamata kwa kitendo cha kufukua mwili wa marehemu bila kibali cha serikali.

“Hatuna shida na imani, shida yetu ni tendo ambalo limefanyika, kwamba walifukua mwili bila kuwa na idhini ya serikali ya kufukua mwili, hivyo tunawashukuru watu wa eneo hili kwa taarifa, na pia poleni, sasa tunaangalia labda tutayafanya haya mazishi tena”, alisikika Mkuu wa Polisi Naivasha akiwaambia wakazi waliofika kushuhudia tukio hilo lililowaacha midomo wazi.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala