Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

WhatsApp yafikisha watumiaji Bilioni 2

Ijumaa , 14th Feb , 2020

Taarifa mpya ya mtandao wa kijamii wa WhatsApp  zinasema, umefikisha idadi ya watumiaji Bilioni 2 duniani kote ambapo mwishoni mwaka 2017 waliripoti kuwa unawatumiaji Bilioni 1.5 .

Picha ya mtandao wa Whatsapp

Mtandao huo umeongeza jumla ya watumiaji Milioni 500 kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita na ulianza kufanya kazi mwaka 2009, kisha ukanunuliwa na kampuni ya mtandao wa Facebook mwaka 2014 chini ya tajiri  Mark Zuckerberg.

Mtandao huo wa WhatsApp ulinunuliwa kwa Tsh Trilioni 43, na kufanya kuwa mtandao na chombo cha habari kilichonunuliwa kwa bei kubwa zaidi ila mtandao wa Facebook ndiyo unaongoza kuwa na watumiaji wengi zaidi ikiwa na idadi ya watumiaji Bilioni2.5.

Aidha kiongozi wa mtandao huo wa WhatsApp Will Cathcart, amesema wanakamilisha mpango wa kutunza na kuficha siri binafsi za mtumiaji wa mtandao huo

"Katika historia yote ya binadamu watu wanatakiwa wawasiliane kwa njia ya siri na  binafsi kwa kila mtu, hatufikirii kuendelea hivyo katika jamii hii ya kisasa" amesema Cathcart.

HABARI ZAIDI

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera