Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

WhatsApp yatoa muongozo mpya kwa watumiaji wake

Jumanne , 14th Mei , 2019

Wamiliki wa mtandao wa kijamii wa 'Whatsapp' wamegundua shambulio la kimtandao lililolenga kuiba taarifa za watumiaji wa mtandao huo kwa kutumia program zililzoanzishwa na wadukuzi hao, hivyo kuagiza watumiaji kuzipakua upya program zao.

Nembo ya Whatsapp

Imeripotiwa kuwa uvamizi huo wa mtandao wa WhatsApp ulibuniwa na kampuni ya usalama ya Israeli inayofahamika kama NSO Group, kampuni ambayo awali ilielezewa kama 'Cyber arms dealer'.

Shambulio hilo dhidi ya WhatsApp, limegunduliwa mapema mwezi huu, lilikuwa ni la kwanza kuwahi kuripotiwa katika gazeti la Financial Times. Ambapo wadukuzi wanaweza kuweka programu ya kuchunguza taarifa kwenye simu yako na vifaa vingine vinavyotumiwa kwa kutuma ujumbe wa WhatsApp.

Mtandao huo umewaomba watumiaji wake ambao ni zaidi ya watu bilioni 1.5 kufungua upya App zao kama njia sahihi ya kuepuka udukuzi huo, na WhatsApp imesema ni mapema kujua ni watumiaji wangapi wameathiriwa na udukuzi huo.

Kwa mujibu wa takwimu za hivi karibuni za Kampuni ya Facebook Inc ambayo inamiliki mtandao huo, WhatsApp ina jumla ya watumiaji bilioni 1.5 kote duniani.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea