Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

AFCON yafikia robo fainali, Egypt vs Morocco

Alhamisi , 27th Jan , 2022

Michuano yamataifa ya Afrika ‘AFCON’ imefikia michezo ya mtoano hatua ya robo fainali baada ya michezo ya hatua ya 16 kutamatika usiku wa jana Januari 26, 2022.

(Egpyt wakishangilia kufuzu Robo fainali na Timu ya Senegal)

Mabingwa watetezi, Mafarao wa Misri wamepata ushindi wa penalty 5-4 dhidi ya Ivory Coast ‘Tembo wa Afrika’ baada ya sare ya bila kufungana ndani ya dakika 120. Erivk Baily alikosa penalti kwa Ivory Coast na MO Salah akaivusha Egypt.

Kwa upande mwingine, Mali aliondoshwa kwenye hatua hiyo baada ya kufungwa kwa penalty 6-5 dhidi ya Equtorial Guinea kufuatia sare ya bila kufungana ndani ya dakika 90 na zile 30 za niongeza.

Kwa matokeo hayo, Mabingwa wa Kihistoria Misri watacheza na Mabingwa wa CHAN, timu ya taifa ya Morocco ilhali Equatorial Guinea ikipangwa kucheza na Senegal Jumapili ya Januari 30, 2022.

Gambia ambayo inashiriki michuano hiyo kwa mara ya kwanza, imetinga hatua ya Robo fainali kwa mara ya kwanza na itacheza dhidi ya wenyeji wa michuano hiyo timu ya Cameroon wakati Burkina Faso itacheza na Tunisia Januari 29, 2022.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini