Ben White
Vinara hao wa EPL wamefikisha idadi hiyo Disemba 13 katika mchezo walioshinda 2-1 dhidi ya Wolves kwa Ben White kulazimika kwenda nje dakika ya 31 ya mchezo huo uliopigwa katika dimba la Emirates.
Rekodi hiyo imewekwa kwa kipindi cha misimu miwili kuanzia msimu 20024-2025, msimu ulioanza rasmi Agosti 16 2024, nafasi ya pili ikishikiliwa na Brighton wenye majeruhi 97 huku wapinzani wao London kaskazini Tottenham Hotspur wakishika nafasi ya tatu wakiwana majeruhi 90
