Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Azam yatamba kuifunza soka Mbeya City

Jumanne , 17th Jan , 2017

Ligi kuu ya Soka Tanzania bara inaendelea Jumatano ambapo vinara wa Ligi Simba SC watakuwa ugenini dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro huku Azam FC ikiahidi kuendeleza ubabe wake kwa Mbeya City Uwanja wa Chamazi Dar es salaam.

Kikosi cha Azam kikishangilia ubingwa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi

Afisa habari wa Azam FC Jaffary Iddy Maganga amesema, mchezo wa kesho anaamini utakuwa ni mgumu lakini kila kitu ni maandalizi na wamejipanga kwa ajili ya kukabiliana na changamoto katika mchezo huo ili kuhakikisha wanapata ushindi wa nyumbani hapo kesho.

Jaffary amesema mpaka sasa hakuna majeruhi katika kikosi na wanachosubiri kwa sasa ni mchezo huo wakiamini watafanya vizuri kwani wameweza kuzifunga timu kongwe za Simba na Yanga katika michuano ya Kombe la Mapinduzi lililofanyika visiwani Zanzibar.

Jaffary amesema, Kocha Iddy Cheche ataendelea kuwa katika benchi la ufundi mpaka pale vibali vya kocha mpya wa Azam FC Mromania Aristica Cioaba vitakapokamilika.

Dismas Ten - Msemaji wa Mbeya City

Kwa upande wake kocha msaidizi wa Mbeya City Josia Steven amesema, anaamini Azam FC ni kikosi kizuri na wanachangamoto kubwa ya kukabiliana nao lakini wamejipanga vizuri zaidi hivyo Azam FC wasitegemee kuwafunga kama walivyofanya kwa Simba na Yanga katika michuano ya Kombe la Mapinduzi lililofanyika visiwani Zanzibar.

Msikilize hapa Msemaji wa Mbeya City, Dismas Ten

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani