Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baada ya kuteuliwa, Jimmy Kindoki awapa onyo Simba

Jumatano , 11th Sep , 2019

Shabiki na mwanachama kindakindaki wa Yanga ambaye amejizolea umaarufu hivi karibuni mtandaoni, Jimmy Msindo maarufu kama 'Jimmy Kindoki' ameteuliwa nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Hamasa ndani ya klabu hiyo.

Mjumbe wa Kamati ya Hamasa wa Yanga

Kamati hiyo yenye wajumbe 19 ni ya kudumu kwa ajili ya kuhamasisha kampeni mbalimbali ndani ya klabu hiyo ili iweze kufanya vizuri na kufikia malengo.

Akizungumza na EATV/ EA Radio Digital, Jimmy amesema kuwa sasa amepata rungu rasmi la kuisemea klabu hiyo mahali popote na kuahidi kupambana na mtu yoyote atakayethubutu kuichafua Yanga.

"Katika mwaka ambao uongozi wa Yanga umetenda haki ni huu, imempa nafasi mtu sahihi. Nilikuwa nafanya kazi nje ya mfumo na sasa nimeingia ndani rasmi, hata mashabiki wanafurahishwa kuona hiki kitu", amesema Jimmy.

"Wenzetu Simba wameumia sana kitendo cha sisi kubakia kwenye Klabu Bingwa Afrika na ndiyo maana kila siku wanahangaika kufanya kila kitu ili sisi tukwame. Sasa hivi wameufunga Uwanja wa Taifa na Uwanja wa Uhuru wameweka vitu vyao, nawaambia wakavitoe", ameongeza Jimmy.

Kamati hiyo ya hamasa ya Yanga imeanza kufanya kazi hivi sasa kuelekea mchezo wa Klabu Bingwa Afrika kati ya Yanga na Zesco ya Zambia, utakaopigwa Jumapili, Septemba 14 katika Uwanja wa Taifa.

Tazama Interview nzima hapa chini alichokizungumza Jimmy Kindoki.

HABARI ZAIDI

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera