Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baraka Sadick ataja sababu ya ubora wake

Jumamosi , 25th Aug , 2018

Licha ya kimo cha nyota wa timu ya Kikapu ya Mchenga Bball Stars Baraka Sadick kuwa kifupi, lakini kiwango chake kimekuwa tishio kwenye michuano ya Sprite Bball Kings  hasa kwenye game mbili za fainali ambazo ameongoza kwa pointi.

Mchezaji Baraka Sadick akikimbia na mpira kwenye game 1.

Akiongea kwenye 'FNL' ya East Africa Television Ijumaa usiku Agosti 24, Baraka amesema kujituma, kufanya mazoezi zaidi hususani ya 'kushoot' ndio kitu kimemfanya awe bora akichangiwa na maandalizi mazuri ya timu yake.

''Kwanza ili ufanye vizuri kwenye Kikapu mazoezi ni lazima, kwasababu unaweza ukawa mrefu lakini mzembe, hivyo unatakiwa kujijenga katika misingi ya Kikapu na hiyo ndio siri ya kuwa bora ukiacha maandalizi ya timu kiujumla ambayo nayo yanamchango mkubwa'', amesema Baraka.

Kwa upande wake nyota wa Flying Dribblers Baraka Mopele ambaye yeye na timu yake wapo nyuma kwa game mbili za mwanzo kwenye 'best of five' amesema watajitahidi kutumia nafasi kwenye game 3 ambayo inapigwa leo kwenye uwanja wa taifa wa ndani kuanzia saa 10:00 jioni.

Mchezaji Baraka Mopele wa Flying Dribblers akiifungia timu yake.

Baraka ameeleza tatizo kubwa ambalo wamekuwa wakifanya ni kutotumia vizuri nafasi wanazotengeneza na tayari wamesharudi chini na kulifanyia mazoezi eneo la 'kushoot' ili waweze kupata pointi nyingi kwenye game 3 na hatimaye kushinda game hiyo na game 4 ili wacheze game 5.

Mpaka sasa Baraka Sadick wa Mchenga amefunga pointi 174 huku Baraka Mopele wa Flying Dribblers akiwa amefunga pointi 134. Endapo Mchenga leo watashinda watajitwalia milioni 10 na kombe na kuwaacha Flying Dribblers wakijikusanyia milioni 3 na 'MVP' ataweka mfukoni kiasi cha shilingi milioni 2.
 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita