Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ben Simmons awapasua kichwa Philadelphia 76ers NBA

Ijumaa , 22nd Oct , 2021

Rais wa Philadelphia 76ers, Daryl Morey amesema kuwa mchezaji wao aliyegoma kucheza kwenye viunga vya Pennyslavania, raia wa Australia, Ben Simmons bado anahitajika kwenye kikosi chao licha ya mashabiki na baadhi ya wachezaji wenzake kuchoshwa na vibweka vyake.

(Nyota wa Philadelphia 76ers, Ben Simmons akiruka juu na kutupia mpira kwenye kikapu)

Kwa muda mrefu Morey ameelezea matakwa na matamanio kama kiongozi wa 76ers, kuwa ni kuunganisha timu kwa kumbakisha Simmons na watamuuza iwapo watapata timu iliyotayari kubadilishana nao kwa mchezaji mwenye uwezo unaowiana.

“Kwa sasa sote tunabidi tuungane, Kazi yangu kama Rais ni kuhakikisha naongoza jumuiya hii kushinda taji la NBA  msimu huu kwakuwa tunatimu nzuri, Simmons ni mchezaji anayeongeza kitu kikubwa kiwanjani kutokana na uwezo wake mkubwa”

“Iwapo tukiweza kumbakisha basi tutakuwa katika nafasi nzuri ya kunyakuwa ubingwa na iwapo itajitokeza timu kuhitaji huduma ya Simmons tutahakikisha kuwa ni kwa faida za pande zote mbili”

Simmons aliripoti katika kituo cha mazoezi cha timu hiyo siku ya  Alhamisi, Oktoba kwa mazoezi ya kibinafsi ambayo hakushiriki kwa sababu ya maumivu ya mgongoni  mwake. Simmons aliripotiwa kupata matibabu kutoka kwa wafanyikazi wa matibabu wa Sixers, ambayo pia ilimruhusu kuanza kufanya mazoezi.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita