BMT
"Programu zao zinapaswa pia zionesha ni mkakati gani watauchukua katika kudhibiti maambukizi kwa sababu Mhe. Rais amesema tuendelee na taratibu zetu lakini tuchukue tahadhari", amesema Neema.
"Baada ya kuwasilisha tutakaa BMT kwa kushirikiana na Wizara ya Afya kwa ajili ya kutengeneza mwongozo wa namna gani tutazitekeleza hizo program za michezo mingine", ameongeza.
Mtazame hapa akizungumza zaidi.