Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dau la kumnunua Bellingham ni Bilioni 344

Alhamisi , 22nd Sep , 2022

Klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani inaripotiwa kuwa imejipanga kumuuza kiungo wao raia wa England mwenye umri wa miaka 19 Jude Bellingham kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 150 zaidi ya Shilingi Bilioni 344 kwa pesa ya Tanzania.

Jude Bellingham ana umri wa miaka 19 anacheza nafasi ya kiungo

Bellingham ni moja kati ya wachezaji vijana wenye vipaji vikubwa na anawaniwa na vilabu kadhaa vikubwa barani Ulaya ambavyo vimeonyesha nia yakutaka kumsajili. Vilabu hivyo ni Chelsea, Manchester United, Liverpool ambao wanatajwa wameshaanza mazungumzo na mchezaji huyo, Manchester City na Real Madrid.

Lakini kwa mujibu wa ripoti kutoka nchini ujerumani zinadai kuwa matamanio ya mchezaji huyu ni kujiunga na Real Madrid na ataipa kipaumbele endapo kama mabingwa hao wa Ulaya wataonyesha nia ya moja kwa moja yakutaka kumsajili.

Mkataba wa kinda huyo wa England na klabu yake ya Borussia Dortmund unamalizika mwaka 2025, taarifa kutoka nchini Ujerumani zinadai kuwa Dortmund wapo tayari kumuuza mchezaji huyo baada ya kupita mwaka 2023 na watamuuza kwa dau la Euro milioni 150 kama ada ya uhamisho ambayo ni zaidi ya Bilioni 344 kwa pesa ya Tanzania.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani