Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dismas Ten amkaribisha mwekezaji wa bilioni 120

Jumatano , 10th Apr , 2019

Afisa habari wa Yanga, Dismas Ten amewatupia dongo jipya watani wao wa jadi Simba baada ya kutaja thamani ya klabu hiyo.

Mashabiki wa Yanga

Katika ukurasa wake wa Instagram, Dismas Ten ameandika kuwa baada ya uchaguzi kupita, klabu hiyo itaingia katika uwekezaji mkubwa huku akitaja thamani ya klabu hiyo kuwa ni takribani bilioni 120.

"Kwa kuwa umekubali acha nikustue jambo. Kwa mujibu wa taarifa na hesabu zilizopo mezani, thamani ya Yanga ni Tsh bilioni 120 (Mara ya sita ya thamani ya Simba) ikiwa na gawanyo la bilioni 30 kwa Kila miezi 3 katika miezi 12 inaunda mwaka mzima", amesema Dismas.

"Anyway kwenye hili najua wengi hawataelewa, wachache wataelewa ukiwemo wewe kwa sababu ni mfanyabiashara mwenye akili kubwa, najua utashtuka kidogo but ndo ‘nshakusanua mtindo’. Acha tusubiri uchaguzi upite, karibu sana YANGA SC ila 'please' ujumbe kwenye bango uuchukulie kwa uzito wa juu..!", ameongeza.

Yanga itaingia katika uchaguzi mkuu mnamo mwezi ujao, ikiwa ni baada ya kusuasua kwa taratibu za uchaguzi wa awali zilizokuwa zikisimamiwa na TFF.

Ikumbukwe kuwa Simba iliingia katika mfumo wa mabadiliko, baada ya mwekezaji Mohamed Dewji 'Mo' kujitokeza na kuweka kiasi cha bilioni 20 ambazo zilikwenda sambamba na hisa za asilimia 49.

Bonyeza hapa chini kutazama zaidi.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi