Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Doncic na Holiday wachezaji bora NBA wiki ya 15

Jumanne , 6th Apr , 2021

Mcheza kikapu wa timu ya Dallas Mavericks, Luka Doncic amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa wiki ya 15 kwenye ligi kuu ya kikapu nchini Marekani kwa upande wa Magharibi baada ya kuonesha kiwango safi kilichoifanya timu yake kushinda michezo mitano mfululizo.

Luka Doncic wa Dalla Mavericks (kushoto) na Jrue Holiday wa Milwaukee Bucks (kulia).

Doncic amewapiku wacheza kikapu wenzake wote wa upande wa Magharibi kwa kuwa na wastani wa kufikisha alama 28.3, rebaundi 6.6 na kutengenza mabao 6.3 na kushinda michezo 4 mfululizo iliyochezwa kunzia wiki ya tarehe 29 Machi 2021 hadi Aprili 3 mwaka huu.

Kwa upande wa Jrue Holiday wa timu ya Milwaukee Bucks amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa ligi hiyo wa wiki ya 15 kwa upande wa mashariki baada ya kufikisha wastani wa alama 26.8, rebaundi 8.5 na wastani 62.7 wa kufunga mabao uwanjani na kusaidia timu yake kushinda michezo mitatu.

NBA inataraji kuendelea tena alfajiri ya kuamkia kesho kwa michezo 8 huku ule unaosubiriwa kutazamwa na wengi ni mchezo wa mabingwa watetezi Los Angeles Lakers watakaocheza na mabingwa wa msimu juzi timu ya Toronto Raptors.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita