Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fahamu historia ya Lampard ndani ya Chelsea

Alhamisi , 4th Jul , 2019

Frank Lampard ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa Chelsea, kwa mkataba wa miaka mitatu, akitokea klabu ya Derby County ambayo ilicheza 'Play off Final' ya kuingia EPL lakini ikafungwa na timu ya Aston Villa ambayo kocha msaidizi ni mchezaji mwenzake wa zamani wa Chelsea John Terry.

Frank Lampard

Lampard alijiunga na Chelsea Juni 2001 akitokea West Ham United. Lampard aliifunga goli lake la 200 akiwa na Chelsea tena kwa kuifunga klabu yake ya zamani West Ham Machi 17, 2013.

Lampard anashikilia rekodi ya kucheza mechi 164 mfululizo za ligi kuu ya England. Alifanya hivyo kati ya 13 Oktoba 13, 2001 Desemba 26, 2005.

Lampard ameichezea Chelsea kwa misimu 13. Mechi yake ya kwanza ilikuwa ni ya ligi kuu dhidi ya Newcastle United, ambayo ilipigwa Agost 19, 2001 na kuisha kwa sare ya 1-1. Mechi yake ya mwisho ndani ya Chelsea ilikuwa ni dhidi ya Norwich City, Mei 4, 2014 iliyomalizika kwa suluhu.

Muingereza huyo ameichezea Chelsea jumla ya mechi 648 ambapo kati yahizo mechi 593 alianza. Wachezaji pekee wanaomzidi kwa mechi ni  Ron Harris, Peter Bonetti na John Terry.

Lampard ndio mfungaji bora wa muda wote wa timu hiyo akiwa amefunga goli 211. Katika magoli hayo goli lake la kwanza alifunga kwenye mechi yake ya tano tu akiwa na Chelsea ambayo ilikuwa ni ya UEFA Cup dhidi ya Levski Sofia.
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria