Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fahamu wachezaji waliogoma kuripoti mazoezini

Alhamisi , 11th Jul , 2019

Ikiwa ni takribani mwezi mmoja umebaki kabla ya Ligi mbalimbali za soka barani Ulaya kuanza, vilabu vipo kwenye maandalizi ya msimu wa 2019/20 ambao kwa nchini England unaanza rasmi Agost 9, 2019.

Neymar Jr

Wafuatao ni baadhi ya wachezaji ambao wamegoma kuripoti kwenye mazoezi licha ya timu zao kuingia kambini.

Kinara wa wote ni Neymar Jr ambaye anakipiga na klabu ya PSG ambayo iliingia kambini Jumatatu Julai 8, 2019.
Neymar ambaye yupo mapumzikoni kwao Brazil hajaripoti bila taarifa yoyote huku akihusishwa na kuondoka klabuni hapo na kujiunga na timu yake ya zamani Barcelona.

Tayari uongozi wa PSG umeshatoa taarifa kuwa utamchukulia hatua za kinidhamu staa huyo kwa kumkata bonasi ya mshahara wake ambayo inakadiliwa kufikia Pauni 100,000 ( Tsh Milioni 287).

Hata hivyo ripoti kutoka Brazil zinaeleza kuwa, Neymar alitoa taarifa kwa uongozi wa PSG kuwa atarejea klabuni ifikapo Julai 15, kwani Julai 13, atakuwa anahudhuria tamasha lake ambalo huwa ni maalum kwa kuchangia wasiojiweza.

Kinara mwingine wa kuchelewa kuripoti ni nyota wa Atletico Madrid Antoine Griezmann, ambaye yeye ameshaweka wazi tangu mwisho wa msimu uliopita kuwa anaondoka.

Griezmann naye hajaripoti kwenye mazoezi pale Wanda Metropolitano licha ya kuhitajika kufanya hivyo kuanzia Jumapili Julai 7, 2019. Griz anahusishwa kujiunga na vilabu vya Barcelona na Man United.

Mwingine anaweza kuwa anashangaza zaidi kutokana na umri wake. Huyu ni mlinzi wa kati ya Arsenal Laurent Koscielny mwenye umri wa miaka 33. Yeye amegoma kusafiri kwenda Marekani kwaajili ya Pre-Season akiwa na Arsenal.

Raia huyo wa Ufaransa anadai alishaiambia klabu kuwa hana mpango wa kuendelea kucheza hapo msimu huu hivyo anataka kuondoka.

Arsenal wameeleza kusikitishwa na kitendo hicho cha Laurent Koscielny ambaye mkataba wake unafikia ukomo ifikapo Juni 30, 2020.
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria