Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Flying Dribbllers wapania kutwaa ubingwa

Jumapili , 29th Jul , 2018

Timu ya mpira wa Kikapu ya Flying Dribblers imejiweka kwenye mazingira mazuri ya kucheza fainali baada ya kufanikiwa kushinda mchezo wake wa kwanza kwenye nusu fainali dhidi ya Team Kiza uliopigwa jioni ya leo Julai 29, kwenye uwanja wa ndani wa taifa.

Flying Dribblers wenye jezi nyeupe kwenye mechi yao dhidi ya Team Kiza

Flying Dribblers ambao mwaka 2017 waliishia hatua ya nusu fainali, wameshinda pointi 84 kwa 75 za Team Kiza, hivyo kuchukua 'game one' kwenye 'Best of three' na endapo watashinda mechi ya pili watafuzu fainali moja kwa moja bila kucheza mechi ya tatu.

Katika mchezo huo mchezaji Habirmana Mayeye wa Flying Dribblers ndio ameibuka kinara kwa kufunga pointi 26, Assist 1 na rebound 4. Kwa upande wa Team Kiza mchezaji Bruno Makombe ameongoza kwa kufunga pointi 17, rebound 15 na Assist 1.

Ili Team Kiza wasonge mbele sasa wanahitaji kushinda mchezo wa pili ili kusawazisha na kwenda kwenye mechi ya tatu ambayo ndio itaamua timu gani iende fainali. Tofauti na hapo watakuwa wameaga mashindano.

Sprite Bball Kings inaandaliwa na East Africa Television LTD, kwa udhamini wa kinywaji cha Sprite. Bingwa atakabidhiwa shilingi milioni 10 na mshindi wa pili milioni 3 huku mchezaji bora MVP akipoata milioni 2.
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria